Tathmini mpya iliyochapishwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia watoto UNICEF, inaonesha mamilioni ya watoto duniani wanaishi kwenye maeneo yanayoshuhudia viwango vya juu vya joto+++Shirika la kimataifa la kutetea Haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuna matumaini mapya ya kupatikana haki ya waathiriwa wa mashambulio kwenye kambi ya wakimbizi ya Gatumba nchini Burundi