Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mbabe wa siku nyingi wa vita nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Thomas Lubanga amekosoa mchakato wa mazungumzo kati ya serikali ya Kinshasa na waasi wa M23 akisema yametanguliza maslahi ya kigeni / Israel imeongeza operesheni zake za kijeshi Syria, ikishambulia lango la makao makuu ya Wizara ya ulinzi Damascus