Mazungumzo kati ya Urusi na Ukraine yamefanyika leo mjini Istanbul na kumalizika kwa muda usiozidi masaa mawili huku wawakilishi wa Ukraine wakiilaumu Urusi kwa kushinikiza matakwa ambayo hayatekelezeki+++Mpeperusha bendera wa Tanzania, katika fainali ya Kombe la Shirikisho "Simba Sports Club," leo hii ipo katika maandalizi ya mwisho huko Morocco kwa ajili ya mchuano wake wa kesho na RS Berkane