Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden, ameukosoa mwenendo wa utawala mpya wa Marekani kuhusu Usalama wa Jamii / Barcelona na Paris Saint Germain wametinga nusu fainali ya Ligi ya Vilabu Bingwa Ulaya licha ya kushindwa katika mechi zao za robo fainali