Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania CHADEMA kimesema kitashinikiza uchaguzi huru bila kuhusisha mahakama+++ Israel imesema kuzuwia misaada ya kiutu kuingia Gaza ni shinikizo kwa Hamas kuachilia mateka inayowashikilia+++ M23 yatumia rasilimali za mashariki mwa Kongo kujinufaisha.