Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Viongozi kutoka nchi kadhaa duniani walikutana jana Jumanne mjini London, Uingereza, kutathmini njia za kumaliza mzozo nchini Sudan / Mtandao wa biashara haramu ya figo umefichuliwa nchini Kenya ambapo wanufaika hulipa hadi dolla laki mbili kupandikizwa kiungo hicho