Wakati utawala wa Taliban ukitimiza miaka mitatu madarakani, serikali ya kundi hilo imepata mafanikio kiasi ya kidiplomasia+++Visa vya dhulma kwa watoto vimeongezeka maradufu katika eneo la Moyale mpakani mwa Kenya na Ethiopia tangu shughuli za uchimbaji katika mgodi wa Dabel kuanza mapema mwaka huu