Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Waziri wa ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius amefanya ziara nchini Marekani kujadili msaada zaidi kwa Ukraine na ushirikiano wa kijeshi ndani ya NATO / Hali ya wasiwasi kuhusu uwezekano wa vita kamili kuzuka upya katika jimbo la Tigray nchini Ethiopia inazidi kuongezeka