Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Miaka miwili tangu vilipozuka vita vya Sudan / Umoja wa Afrika umemteua Faure Gnassingbé kuwa mpatanishi mpya wa mgogoro kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Rais wa Togo anamrithi mwenzake wa Angola, João Lourenço