Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Annalena Baerbock amesema mataifa hayatakiwi kuupa mgongo mzozo mkubwa kabisa wa kibinaadamu unaosambaa nchini Sudan+++Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amerejelea msimamo wake wa kupinga kuundwa kwa dola la Wapalestina.