Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mgogoro kati ya majenerali wawili umeitumbukiza Sudan katika vita ambavyo havionekani kumalizika hivi karibuni / Umoja wa Afrika umemteua Faure Gnassingbé kuwa mpatanishi mpya wa mgogoro kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo