hirika la habari la Kipalestina, WAFA, limetangaza kuwa Wapalestina wapatao 89 wameuawa katika mashambulizi mbalimbali ya Israel katika Ukanda wa Gaza+++Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imesema takriban watu 40 wamefariki katika jimbo la Darfur kutokana na mlipuko mbaya zaidi wa kipindupindu.