Rais wa Marekani Donald Trump amekutana leo mjini Riyadh na Rais wa mpito wa Syria, Ahmed al-Sharaa, katika mkutano wa kihistoria+++kampuni ya ndege ya Rwanda imetangaza kuathiriwa na uamuzi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wa kuweka marufuku ya kuruka katika anga yake.