Rais wa Marekani Donald Trump amewasili mjini Doha, Qatar leo, na kupokelewa na kiongozi wa taifa hilo, Sheikh Tamim bin Hamad Al-Thani+++Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema serikali yake mpya itaweka kipaumbele kikubwa katika usalama, mshikamano, mafanikio na maendeleo kwa wote.