Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo hali ya utulivu imerudi katika kijiji cha Kavumu//Ukraine imeishtumu Moscow kuwalenga raia// Mashirika ya kimataifa ya misaada yamelaani vikali shambulizi lililofanywa na wanamgambo wa RSF kwenye kambi ya wakimbizi ya Zamzam nchini Sudan.