Duru ya pili ya mazungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Iran imepangwa kufanyika Roma, Italia// Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman hapo jana alichukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania urais wa Zanzibar kwenye uchaguzi utakaofanyika mwaka huu//Rais wa China Xi Jinping amesema 'hakutokuwa na mshindi' katika vita vya kibiashara.