Maafisa nchini Sudan wamesema hawakubaliani na mapendekezo ya Marekani kuhusu kuwapokea wakimbizi kutoka Ukanda wa Gaza+++Serikali ya kijeshi ya Sudan jana Alhamisi ilitangaza kupiga marufuku bidhaa zote kutoka Kenya kutokana na kile kinachoonekana kuwaunga mkono wanamgambo wa RSF.