Wabunge wanaomaliza muda wao nchini Ujerumani wamefanya kikao maalum kujadili mpango wa euro bilioni 500 katika kushughulikia miundombinu na mabadiliko makubwa katika sheria za kukopa+++Umoja wa Mataifa umezindua mpango utakaouwezesha kufanya shughuli zake kwa ufanisi wakati huu unapokabiliwa na upungufu wa fedha