Bunge la Ulaya limeutaka Umoja wa Ulaya kusitisha kuiunga mkono moja kwa moja bajeti ya umoja huo kwa Rwanda hadi nchi hiyo itakapovunja uhusiano wake na waasi wa kundi la M23+++Viongozi mashuhuri wa kisiasa, wanadiplomasia, na wataalamu wa usalama wanakutana leo Ijumaa kwenye Mkutano wa Usalama wa Munich.