Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia wakimbizi UNHCR limeelezea wasiwasi wake kuhusu hali inayozidi kuwa mbaya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, likisema, likisema vita katika eneo hilo limewaacha takriban watu 350,000 bila makazi+++Jumuiya ya kimataifa imeapa kuwa itaiunga mkono Syria