Mkuu wa Majeshi ya Israel, Luteni Jenerali Eyal Zamir, ameidhinisha mpango wa mashambulizi katika Ukanda wa Gaza// Chama kinachotawala nchini Tanzania, CCM chafanya harambee kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba// Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekiri makosa ya nchi yake katika makoloni yake kabla wakati na baada ya uhuru wa mataifa hayo ikiwemo Cameroon na Senegal.