Kiongozi wa chama cha upinzani cha DCP, Rigathi Gachagua anakabiliwa na hatari ya kukamatwa kuhusu kauli alizozitoa akiwa ziarani Marekani// Wizara ya Afya nchini Afrika Kusini hatimaye imezungumza na kukemea vikali wanachama wa vuguvugu la Operation Dudula kwa kuendesha kampeni ya kuwazuia raia wa kigeni wanaoishi nchini humo kupata huduma za afya katika hospitali za umma.