Upinzani wa umma dhidi ya kampeni ya kijeshi ya serikali ya Israel huko Gaza unaongezeka//Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuliweka Jeshi la Polisi la jiji la Washington, D.C., chini ya udhibiti wa serikali kuu//Shirika la Kijamii la Royal Foundation nchini Uganda limeanzisha mpango wa mazoezi ya kijamii kwa kundi la wananwake wazee kwa lengo la kuimarisha afya zao.