Tofauti iliyojitokeza kati ya Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na iliyopelekea Zambia kufunga mipaka yake, sasa imetatuliwa+++Iran imeukataa wito uliotolewa na mataifa ya Magharibi wa kuacha vitisho vyake vya kulipiza kisasi dhidi ya Israel kwa mauaji ya kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas, Ismail Haniyeh