Wakati Urusi ikiwahamisha maelfu ya raia wake kutoka eneo la Kursk lililovamiwa na wanajeshi wa Ukraine hivi karibuni, Kyiv imesema haina nia ya kulitwaa eneo+++Mashtaka ya mauaji yamefunguliwa dhidi ya aliyekuwa waziri mkuu wa Bangladesh Sheikh Hasina na maafisa wengine wa serikali yake iliyoangushwa juu ya mauaji ya mmiliki mmoja wa duka la mboga, Abu Saeedc