Israel imeshambulia vinu vya nyuklia vya Iran usiku wa kuamkia leo+++Uchunguzi kuhusu mauaji ya mwanablogu na mwalimu Albert Ojwang umechukua mkondo mpya baada ya afisa wa polisi kukamatwa. Pia mtu aliyeivuruga kamera ya CCTV kwenye kituo cha polisi cha Central amekamatwa.