Mazungumzo ya usitishwaji mapigano Ukraine yamepiga hatua, huku ujumbe wa Marekani ukielekea Moscow na NATO ikijadili uwezekano wa vikosi vya amani iwapo mkataba utaafikiwa+++Mamlaka mpya ya Syria imetangaza kwamba inaunda Baraza la Usalama wa Kitafa litakaloongozwa na Rais wa mpito wa nchi hiyo Ahmed al-Sharaa