Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SADC imechukua uamuzi wa kusitisha uwepo wa kikosi chake huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo+++Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema kinafanya uchunguzi wa kina ili kubaini kiwango cha maambukizi ya homa ya nyani (MPOX)