Ujumbe wa Maaskofu wa Kanisa katoliki na wale wa Kiprotestanti katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, umekutana na waasi wa M23 katika juhudi za kutafuta amani+++Serikali ya Ujerumani na Tanzania kwa pamoja zimezindua wiki ya ubinifu wa Teknolojia ya Kijani.