Wapalestina 28 wauawa kwenye shambulizi la anga la Israel katika Ukanda wa Gaza // Rais wa Marekani Donald Trump asema Mexico, na Umoja wa Ulaya kukabiliwa na ushuru wa asilimia 30 kuanzia Agosti mosi // Rais wa Uturuki asema kupokonywa silaha kwa PKK kunafungua ukurasa mpya kwa Uturuki