Kasi ya ukuaji wa uchumi wa Kenya imepungua kwa asilimia 4.7. kwa mujibu wa bajeti ya mwaka 2025/2026+++Jumla ya shilingi trilioni 56.49 zinatarajiwa kukusanywa nchini Tanzania na kutumika katika mwaka wa fedha 2025/2026+++ Bajeti ya shilingi trilioni 72.3 za Uganda zinatarajiwa kuelekezwa katika kubuni fursa za ajira na ujasiriamali kwa vijana.