Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kutokana na mzozo unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, serikali ya kinshasa imepiga marufuku ndege zote zilizosajiliwa nchini Rwanda kutumia anga yake / Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema yuko tayari kubadilishana ardhi katika mazungumzo na Urusi