Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mkutano wa kilele uliokuwa ukijadili teknolojia ya akili mnemba (AI) umekamilika nchini Ufaransa / Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth amesema Marekani haitopeleka wanajeshi wake Ukraine chini ya mkataba wowote wa amani