Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: UN imesema wanawake na Watoto ndio wamekuwa wahanga katika mashambulizi ya hivi karibuni kwenye ardhi ya Palestina / Waasi wa M23 kwa sasa wanajaribu kuwafurusha wapiganaji wa Mai-mai Wazalendo wilayani Kalehe nchini Kongo