Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Syria chini ya rais wa mpito Ahmed al-Sharaa imeyavunja makundi yenye silaha na kuwezesha udhibiti wa serikali / Ripoti iliyotolewa siku ya Jumanne na shirika linalofuatilia takwimu za uchafuzi wa hewa, imeeleza kuwa idadi kubwa ya watu duniani huvuta hewa chafu na hivyo kuwa hatarini kupata magonjwa makubwa