Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewasili Saudi Arabia kwa mazungumzo juu ya uwezekano wa makubaliano ya amani kati ya nchi yake na Urusi, ambayo iliivamia zaidi ya miaka mitatu iliyopita / Mahakama ya Rufaa Kenya imesimamisha mpango wa serikali wa kuagiza vyakula vilivyobadilishwa vinasaba.